Pageviews

Thursday, March 10, 2011

Ug Lyrics - Jamila [Jose Chameleone]

Verse 1
Muda Mrefu Jamila hatuonani
Penzi gani imekuleta kwangu nyumbani
Karibu nikupe kiti,Unielezee nini mama
Jamila alipokaa aka'anza kulia
Oh nakushindwa kuongea
Ata mimi mwenyewe nikaumia kumouna akilia

Chorus 2x
Jamila analia, bwana wake amemuwacha
Jamila analia, bwana wake amemutupa

Verse 2
Jamila aliponza kuongea
Aliongea na maumivu mingi
Navile aliku anaongea
Nikamuonea uruma
Ati walianza penzi bora
Siku zingine harudi nyumbani
Kumuuliza kama amepata mwengine
Akamfungia virago

Repeat Chorus 2x

Verse 3
Sijui nitamsaidiaje
Jamila nimwambie afanyeje
Nitamupa Kitanda chakula akule
lakini mambo ya mapenzi mimi naogopa
Zamani mimi nae tulishindana
Nikapata muke akapata bwana
Sasa analia Jamila nifanyaje lyrics from museke.com
Jamila sijui nimwambie afanyeje Eh!

Repeat Chorus 3x

Repeat Verse 1

Repeat Chorus till fade

Ug Lyrics - Kipepeo[Jose Chameleone]

Kipe Kipe kipe
Kipe Kipe kipe (3x)
skipe Kipe kipe
Kipe Kipe kipe (3x)

Hook
Guno gwenkubye (Leero!)
Bakadde nabato basituke (Leero!)
Guno gwenkubye (Leero!)
Abebiwato kabasituke (Leero!)

Chorus 2x
Ay Mama ekipepeo oh
Kipepeo oh oh oh kipepeo ohh!
Ay Mama ekipepeo oh
Kipepeo oh oh oh kipepeo ohh!

Verse 1
Tulipokuja hapa tuliwakuta
Tulipo fika waka'anza kujuta
Myaka mingi tulikua tuota
Tusikike tujulikane ka'nyota
Hatukudhani kama tutawakuta
Bahati ya mungu tkalipuka
Chap chap na kazi nzuri tuka fika
Tuko nao pamoja tunaruka!

Repeat Chorus 2x

Verse 2
Kama kipepeo napepea kila mali
Namushukru mungu watu wananikubali
Kama wengi ata mi nilitoka mbali
Kufika hapa nilipo sikibahati
Wengi wanataka kunishukisha
Nabado nawapa mikono wanarusha
Wenye roho mbaya tunwazungusha
Chameleone kipepeo turuke!

Repeat Chorus 2x

Verse 3
Kama kipepeo napepea bila tatizo
Napepea hewani mungu ndio uwezo
Kujenga jiina nibidi sio mchezo
Na kulitunza pia kazi ngumu sio likizo
Tanzania ndugu zangu watafurahi
Kwenye streets za Kenya nita pewa Hi
Uganda,Rwanda,Burundi,Congo Wako high,
Sababu yakumuona Chameleone butterfly!

Repeat Hook 2x

Repeat Chorus 4x

Bridge
Dance mpya kipepeo
East Africa tunacheza Kipepeo
Uganda Kipepeo
Tanzania Kipepeo
ata Kenya Kipepeo
Rwanda, Burundi, Congo Kipepeo
Dance mpya kipepeo
Kila mtu anacheza kipepeo

Repeat Chorus and hook till fade

Ug Lyrics - Beyi Kali [Jose Chameleone]

Chorus
Anapenada Vitu vya bei kali
kama hajui ati sina mali
Ananiomba vitu vya bei kali
Nikiwa sina yeye hanijali

Verse 1
Kutano lakwanza ilikua Mombasa
Rohoni nilisikia nimempata sasa
Kumbe hata yeye Alininoki pia
Jioni tukaenda pamoja out for a beer
Nilishanga alinza kuomba whisky
Na vinyaji vya bei bila kua tipsy
Niliamua twenda dance floor tucheze
Akakata ati hapendi nyimbo za lingala

Repeat Chorus

Verse 2
Siku nyingine alikuja kampala
Tuka'anza kutafuta hotel ya kulala
Nikampeleka hotel inje ya Kampala
Hio ndio nilkua naweza lipia
Tukafikepo akaanza kunicheka
Nakusema ati sheraton kuko better
Nikatafuta rafiki yangu anisaidie
Kwa bahati mabaya ata yeye nilimkosa

Repeat Chorus

Verse 3
Nilpanga tuende pamoja kigali
Tukale Hepi sababu nilikua na mali
Akafurahika penzi ltu kufika mbali
Kumbe kuenda kigali ndio ilikua hatari
Nilimpeleka restaurant akakata ugali
Ati hawezi kula alikatazwa Daktari
Nilijifanya mjinga kama simjali
Kumbe kesho namtoroka nimwache Kigali!

Repeat Chorus

Verse 4

Muape fasi Kampala-Uganda Muape fasi
Muape fasi Daresalaam-Bongo Muape fasi
Kigali-Rwanda ndabakunda nimuze tubyine
Olobi ndenge nini bana Congo bapewe fasi
Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kenya yote wape fasi
Sita sahau Burundi Bujumbura wote wape fasi
Amuka basi umepewa fasi amuka basi
Amuka ndugu umepewa fasi amuka basi
Kampala mulungi nyo naye ajjudde abateesi
Kampala muzuri sana naye ajjudde abateesi
Atooba bakaye,nange nsazeewo nkaaye
Ababylon bakaaye Chamele Nsazeewo nkaaye
Humphrey akaaye lyrics from museke.com
Jeff akaaye
Musta ne Twista bakaaye
Chamele Nkaaye, ne chaga yaga yo akaaye,
Fenna Tukaaaye

Repeat Chorus

Ug Lyrics - Bayuda [Jose Chameleone]

Bayuda tuyita nabo,……..Nabo

Abalala tuseka nabo,……… Nabo
Olw’ekisa tugabana nabo,…Nabo

Tubamanyi butabagamba.

Verse 1
Kiruma nga gw’oyita mukwano gwo ennaku yo agifudde essanyu, obadde omwesiga, abadde akweyuna, bambi buli lw’abadde mu nnaku.
Kati lupiiya amusingidde omukwano,
mubadde bataayi naye kati kacwano,
ekinneewuunyisa, bannaffe abatusuuta, tebandibadde abo ate ne batutunda.
Toggwamu ssuubi be yalyanga nabo ku mmeeza baamutunda abiri gokka aga feeza. Wulira bino…..

Verse 2
Butamanya waliwo abaatusookawo, nga tuzaaye waliwo abalibeerawo, ebitumalamu byo twabisangawo. Naye nno lulikya lumu byonna ne tubirekawo.
Kiruma munnoowo nga y’akuvuddemu, banka y’ebyama byo ajaabuluddemu,
bagendeko mpola abasinga be bamu.
Ekinneewuunyusa, bannaffe abatusuuta tebandibadde abo ate ne batutunda,
Toggwamu ssuubi, be yalyanganabo, ku mmeeza, bamutunda abiri gokka aga feeza. Wulira bino.

Verse 3
Tubenga benkanya abange bwe kisaana,
twegenderezenga abangi abatuwaana, bennyini abatuwaana ate be batukiina,
ne bw’okola amakula tebasiima, obulimba bubasingira omukwano. Mubadde bataayi kati kabwa na ngo, ekinneewuunyisa bannaffe abatusuuta tebandibadde abo ate ne batutunda,
Toggwamu ssuubi, be yalyanga nabo ku mmeeza baamutunda abiri gokka aga feeza, wulira bino.

Verse 4
Tuyita naboooo, ne batutunda, tebaswaala, naye luliba olwo ne baswaala. Tuyita nabo, tugabana nabo, tuseka nabo, nate tulya nabo, tukola nabo, ne tubeera naboooo, naboo, naboo, naboo tulabye.

Ug Lyrics - Where you are - Blu 3

Verse 1
 
In my eyes, you sparkle like a star
When I dream of you, it's you I long to please
When you walk on by, I catch your scent and it's all I love
Mina we, tuwe pamoja wild and free
Nakutamani mapenzi wangu
Unaenda wapi (unaenda wapi)
Nakutamani mane
Baby, I am thinking of you

Chorus
I wanna be right there where you are (where you are)
I wanna be right there in your arms (in your amrs)
Kiss on my lips every morning is all I want (all I want)
Where you are, where you are (where you are)
Baby, where you are (where you are)

Verse 2 - Mowzey Radio
Rohoni, unanitenza kitenzi
Natamani, kuwa right there where you are
Baby, umenishika kupendi baby
Nakuwaza, nakuwaza, girl, I am looking for you
Natamani (natamani)
Unaenda wapi
... baby
Chorus
Yes, I wanna be right there where you are (where you are)
I wanna be, wanna be right there in your arms (in your arms)
Kisses on my lips is all that I want (all I want)
Wanna be, wanna be where you are (where you are)
I wanna be right there (where you are)

Bridge - Mowzey Radio
I got this feeling inside, find a place that we can go
I'll be lost in your arms, tell me where you reside
Baby, as long as you are near, I am not afraid
Your love is all that I desire
Show me paradise

Verse 3 (Ragga) - Weasel
She want me, yeah, she want me
She wanna want me lyrics from museke.com
Kiss and caress me
Long time, she want me, wanna be my honey
Spend all me money, make love in the morning
She a right type a girl, she a princess
She wanna be my only one and me empress
She want all, she want it excess
Excess like a princess, she restless

Repeat Chorus till fade